"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Wednesday, March 04, 2009
Rehema mwakangale kuzikwa kesho
Mazishi ya yule Mtangazaji wa Independent Television (ITV), Rehema Mwakangale aliyefariki jana yanatarajiwa kufanyika kesho katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam Habari Zaidi.
1 comment:
Anonymous
said...
Kweli siwezi kuamini lakini wote tuko safarini, nawaombea familia yote na Mungu azidi kuwapa faraja katika kipndi hiki kigumu. Mungu amlaze mahali pema peponi
1 comment:
Kweli siwezi kuamini lakini wote tuko safarini, nawaombea familia yote na Mungu azidi kuwapa faraja katika kipndi hiki kigumu. Mungu amlaze mahali pema peponi
Post a Comment