Friday, March 29, 2013

Nembo ya Papa Francis


Mapapa wawili wanapokutana

 Mapapa Francis na Benedict XVI wakizungumza


Mapapa wawili, Francis na Benedict XVI wakisali

Friday, March 22, 2013

Kikwete alipokutana na Benedict XVI

Pope Benedict XVI meets Jakaya Mrisho Kikwete, President of Tanzania, at his private library in 2007.

Thursday, March 21, 2013

Uhuru, Ruto wajibu madai ya Odinga

President-elect Uhuru Kenyatta and his designated deputy William Ruto formally launched a legal battle to retain their declared victory by overcoming Mr Raila Odinga’s petition, which stands between them and formal assumption of power.
Both Jubilee leaders filed their affidavits, challenging issues Raila raised in pursuit of annulment of their victory in the Supreme Court. ENDELEA NAYO

Wednesday, March 20, 2013

Quotable Quote: Pope's Silent Blessing

“Given that many of you do not belong to the Catholic Church, and others are not believers, I give this blessing from my heart, in silence, to each one of you, respecting the conscience of each one of you, but knowing that each one of you is a child of God,” he said. “May God bless you.”  Pope Francis addressing Journalists. The New York Times March 16, 2013

Kesi ya Odinga kupinga matokeo yaanza

Majaji wa Mahakama ya Juu ya kenya wakiwa tayari kuanza kusikiliza kesi ya kupinga ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais ilipotajwa leo asubuhi. Kutoka kushoto ni Njoki Ndungu, Jackton Ojwang, Philip Tunoi, Willy Mutunga (jaji mkuu), Mohamed Ibrahim and Smokin Wanjala. Soma yaliyojiri Daily Nation na hapa The Standard. 
Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) imeomba kesi hiyo itupwe ikidai matokeo yaliyotangazwa yalikuwa shihihi.

Tuesday, March 19, 2013

Madai ya Raila Odinga Kortini

SUMMARY OF RAILA PETITION

He is asking the court to do:
1. Set aside the results of the Presidential election as announced by IEBC on 9 March 2013, and the declaration of Uhuru Kenyatta as President-elect and William Ruto as Deputy President - elect respectively, and declare asnull and void the whole electoral pro cess leading to that
declaration. ENDELEA NAYO

Papa Francis aanza kazi rasmi

Pope Francis officially began his ministry today in an installation Mass simplified to suit his style, but still grand enough to draw hundreds of thousands of people to St. Peter's Square to witness the start of his papacy.
Francis thrilled the crowd at the start of the Mass by touring the sun-drenched piazza and getting out of his jeep to bless a disabled man and kiss children.
It was a gesture from a man whose short papacy is becoming defined by such spontaneous forays into the crowd and concern for the disadvantaged.
The blue and white flags from Francis' native Argentina fluttered above the crowd and civil protection crews closed the main streets leading to the square to traffic and set up barricades for nearly a mile (two kilometres) along the route to try to control the masses and allow official delegations through.
Akivalishwa pete
Makardinali kwenye ibada
Akimbusu mtoto
Kicheko
Akimbeba mtoto
Mugabe akipigwa picha na Bodyguard wake

Friday, March 15, 2013

Mabadiliko ya Teknolojia

Miaka minane iliyopita Papa Benedict XVI alipokewa kwa mishumaa na wafuasi wake kama inavyoonekana picha ya juu, lakini juzi usiku Papa Francis alipoikewa kwa kamera, simu, iPad, tablets na vitu vingine vya aina hiyo. Ni mabadiliko makubwa.


Thursday, March 14, 2013

Historia ya Mapapa

 Francis, Papa wa kwanza kutoka nje ya Ulaya kwa miaka 1,300

Histopria ya mapapa


Ni myenyekevu wa kiwango hiki

In 2006, Cardinal Bergoglio chose a children's hospital in Palermo (Buenos Aires) to celebrate The Holy Thursday Mass of the Lord's Supper. There, he washed the feet of 12 sick children.
His episcopal motto is "miserando atque eligendo" (lowly, yet chosen).
God Bless Pope Francis.

Hao ndio watu wako

 Newly elected Pope Francis I, the former Cardinal Jorge Mario Bergoglio of Argentina waves from the steps of the Santa Maria Maggiore Basilica in Rome this morning

Habemus Papam

Papa Francis 1


Wednesday, March 13, 2013

Hii inataka ujasiri

Haikuwa kazi rahisi lakini iliwezekana. Kumbe hakuna kisichowezekana ukiwa na nia na malengo. Yaani moto unakanyangwa kama barafu!

Moshi umeanza kuonekana huko Vatican

 Moshi uliotoka mara ya kwanza jana

 Moshi uliotoka mara ya pili hiyo jana.

Matazamio ya moshi utakaopatikana baada ya Papa kupatikana

Habari zaidi

Tuesday, March 05, 2013

Matokeo Kenya haya hapa

Lakini matokeo hayo yanalalamikiwa na Odinga amebainisha kasoro kadhaa ambazo ameziwasilisha mahakamani katika Kesi Hii. Hata hivyo, Uhuru kwa upande wake anadai malalamiko hayo ni ya kubumba, na ushindi wake ni mweupe kama anavyosema katika Hati ya Kiapo kortini.

Monday, March 04, 2013

Uchaguzi Kenya: Matokeo

 Ilivyokuwa asubuhi

Kura za awali: Inavyoelekea kuwa

Wednesday, February 20, 2013

Shein amuaga Padri aliyeuawa

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (kushoto) akitoa salamu ya Mwisho kwa mwili wa Padri Evarest Mushi katika Kanisa la Minaramiwili Mjini Zanzibar. Padri Mushi aliuawa risasi na watu wasiojuilikanwa Jumapili iliyopita kuzikwa leo Kijini Kitope, Wilaya ya Kaskazini B, Unguja. (Katikati) Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Augustino Shayo.

Wanenavyo kuhusu Matokeo From IV

Div 1 - 1,641
Div 2 - 6,453
Div 3 - 15,426
Div 4 - 103,327
Div 0 - 240,903



Mimi binafsi siyakubali. Jibu liko kwa walimu. Serikali igeuke nyuma iwatazame walimu, si kwa kutumia polisi, usalama na kuwakata mishahara, bali kwa matendo mema – mishahara mizuri, marupurupu sahihi na kwa wakati, motisha, kuwapandisha vyeo kwa wakati, kuwalipa gharama za uhamisho. Upande wa pili na kuongeza walimu, madarasa, madawati, vitabu na vifaa nyingine muhimu. Baada ya hapo, ni haki na wajibu, kazi na dawa, asiyefanya kazi na asile, asiyefaulisha abanwe.
Wadau wa elimu wanena:

Imagine the future of a country that fails 84% of her young population.

Form 4 results out, 60% (240,903) fail! It's NATIONAL DISASTER ! It's emergency! Urgent serious steps must be taken NOW.

Disastrous Form 4 Results. Div 1 - 1,641; Div 2 - 6,453; Div 3 - 15,426; Div 4 - 103,327; Div 0 - 240,903. Div 1-3: Boys 16,342, Girls 7,178

Mwaka jana tumelalamika, tukasahau. SASA tufanye kitu. Waziri wa Elimu atoke. Wizara iwe chini ya Rais. Yakiwa haya mwakani, na yeye atoke
Kucheza na Elimu tutaula wa chuya kwa uvivun wa kuchagua. Miradi yote tufanyayo, bila Elimu bora ni UPUUZI tu. Elimu BORA na BURE
Hawa watoto waliopata zero na four haraka sana wapate mafunzo ya ufundi. VETA kila Wilaya ni ya lazima SASA
Halafu Wizara ya Elimu iwe chini ya Ofisi ya Rais. Mwakani wakifeli kama hivi na yeye atoke.............. tufanye petition
Naenda kulala sasa. Haya matokeo ya kidato cha nne haya bila hatua ya uwajibikaji kufanyika....... Kawambwa has to go! Hakuna namna kabisa

Still no breaking news "Waziri wa Elimu ajiuzuru" kweli TZ noma kweli kweli hamna uajibishwaji wala kujiajibisha.









Friday, February 15, 2013

Maandamano ya amani ya wafuasi wa Ponda

Source: Mkwinda Blog

SHUGHULI katika Jiji la Dar es Salaam jana zilisimama kwa muda baada ya wafuasi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Issa Ponda, kuandamana huku wakipambana na askari polisi waliotanda katika maeneo mengi ya mji, linaripoti Mwananchi