"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Tuesday, February 26, 2008
Muungwana husikiliza
Baadhi waliniandikia hapa, wengine wakaandika kwa email baada ya kushindwa kutoa maoni katika kisanduku cha maoni. Wengine walinipigia simu na wachache wakanieleza kwa mdomo. Nimeona sina sababu ya kuwa mkaidi...Nimerudi.
2 comments:
Anonymous
said...
Wewe acha ufala ulitaka kupima kama watu wanapitia blog yako! sasa tunataka uwe unaupdate kila siku sio unalala!
2 comments:
Wewe acha ufala ulitaka kupima kama watu wanapitia blog yako! sasa tunataka uwe unaupdate kila siku sio unalala!
Wewe acha ufala ulitaka kupima kama watu wanapitia blog yako! sasa tunataka uwe unaupdate kila siku sio unalala!
Post a Comment