Tuesday, February 26, 2008

Vita ya Chopa

CCM YATANGAZWA MSHINDI KITETO
CCM kwa muda mrefu ilikuwa inasema matumizi ya helkopta ni matumizi mabaya ya fedha kwa Chadema. Ilipoona inakabwa koo, nayo ikakodi chopa hii, sababu ya matumizi ikaisha, wakasingizia hali ya hewa. Siku chopa yao ilipoanza kazi, ya Chadema 'ikafia' Dodoma. Hapo huenda ndipo mambo yakaharibika.

No comments:

Post a Comment