Miruko sisi wadau tunasikitika sana kwa nini unaondoka? mimi nilikuwa siijui blogyako nimeijua juzi tu kumbe ilikuwa na mipicha ya nguvu, nimesikitishwa sana kwa kuondoka kwako
Miruko sisi wadau tunasikitika sana kwa nini unaondoka? mimi nilikuwa siijui blogyako nimeijua juzi tu kumbe ilikuwa na mipicha ya nguvu, nimesikitishwa sana kwa kuondoka kwako
9 comments:
unakwenda wapi mkuu? wacha mambo hayooo rudi kundinio harakaa tunakutegemeaaa
acha za kutest zali, endelea kublog hakuna aliyekuita
Miruko sisi wadau tunasikitika sana kwa nini unaondoka? mimi nilikuwa siijui blogyako nimeijua juzi tu kumbe ilikuwa na mipicha ya nguvu, nimesikitishwa sana kwa kuondoka kwako
Miruko sisi wadau tunasikitika sana kwa nini unaondoka? mimi nilikuwa siijui blogyako nimeijua juzi tu kumbe ilikuwa na mipicha ya nguvu, nimesikitishwa sana kwa kuondoka kwako
No kisima cha fikra, dont leave, we will miss u
Mzee wetu wa fikra, plssssssssssssssssssssssssssssssss dont leave
Heee, kwa nin i tena waamua kutukimbia? what happenned?
Miruko acha utani!!!!
Du..kaka ingawa hujapenda kuweka bayana la wewe kuji-Lowassa kublog.
Ila kubwa ya yote mimi pia nilikuwa mmoja wa watu walikuwa wakipita hapa kimya kimya.
Nakutakia kila jema natumaini kwa namna moja ama nyingine,utukuwa nasi.
Ulitimiza wajibu wako..hongera kwa hilo.
wasalaaam
Tutufika tu.
Post a Comment