"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Friday, November 02, 2007
Naomba unisikilize...
Heri yake huyu binti, mshiriki wa Miss Utalii alipata nafasi na kumnong'oneza Rais Jakaya Kikwete kitu alichohitaji. Wengi wanatafuta fursa kama hii wanaikosa. Je wewe ukiipata utamweleza nini? (picha kwa hisani ya watu wazito)
2 comments:
Anonymous
said...
We miruko acha uchokozi. Kwani mrembo kumnong'oneza rais kuna nongwa gani. Unataka tukueleze nini?
2 comments:
We miruko acha uchokozi. Kwani mrembo kumnong'oneza rais kuna nongwa gani. Unataka tukueleze nini?
siyo palichimbika siku hiyo nyumbani kweli,hadi wivu yaani
Post a Comment