Tuesday, February 12, 2013

Juliana Shonza atu CCM

Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (Bavicha) Juliana Shonza ambaye alitumuliwa kwenye chama akidaiwa msaliti aliyetumwa na CCM kukivuruga chama na kuwatukana viongozi, leo ameibukia CCM na kukabidhiwa kadi ya uanachama na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete. Taarifa zaidi

No comments:

Post a Comment