Friday, February 15, 2013

Maandamano ya amani ya wafuasi wa Ponda

Source: Mkwinda Blog

SHUGHULI katika Jiji la Dar es Salaam jana zilisimama kwa muda baada ya wafuasi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Issa Ponda, kuandamana huku wakipambana na askari polisi waliotanda katika maeneo mengi ya mji, linaripoti Mwananchi

No comments:

Post a Comment