Thursday, January 06, 2011

CHADEMA Yashinda Umeya Mwanza

Matokeo Rasmi Mwanza

Umeya
Josephat Manyerere: CHADEMA - kura 17
Stanslaus Mbaula: CCM - 15


Naibu Meya
Charles Marwa: CHADEMA - 17
Daudi Mkama: CUF - 15

Note: Mji wa Mwanza sasa ni shwari, wananchi waliokuwa wamekusanyika kwenye eneo la uchaguzi wameshatawanyika kwa amani. Polisi waliokuwa wametanda nao wameondoka bila kutumia 'ujuzi' wao.

No comments:

Post a Comment