Tuesday, October 26, 2010

Shibuda aachiwa huru

Tumaini Makene na Suleiman Abeid

MGOMBEA ubunge Jimbo la Msawa Magharibi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. John Shibuda ameachiwa na polisi, huku akitamba kuwa kukamatwa kwake ni hila sawa na zile alizofanyiwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere alipotiwa kifungoni na wakoloni wakati akipigania uhuru.
Amesema kuwa kukamatwa kwake kunadhihirisha namna Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inavyotumia taarifa potofu kuhukumu watu.
>>>Endelea

No comments:

Post a Comment