Saturday, June 27, 2009

Zombe OUT?

Wazee wa Baraza wamemwona ACP Abdallah Zombe hana hatia. Wanasema ushahidi uliotolewa haukumhusisha na mauaji na zaidi ya yote hakwenda kwenye msitu wa Pande, mauaji ya wafanyabiashara wa magenge yalikofanyika. Anasubiriwa jaji tu... Full Report

No comments:

Post a Comment