Friday, June 26, 2009

Millingo Asimika Askofu Aliyeoa

Askofu Mkuu aliyetimuliwa katika Kanisa Katoliki, Emmanuel Millingo (kushoto) akiwa na mkewe, Maria Sung kwenye picha ya pamoja na mmoja wa maaskofu wake wapya, aliowasimika nchini Kenya, Daniel Kasomo na mkewe, MaryAnne Kasomo. Mapadri kadhaa nchini Kenya wamejitenga na Kanisa Katoliki na kuanzisha dhehebu lao, Married Priests Now. Full Report

No comments:

Post a Comment