Friday, June 26, 2009

Tangulia Michael Jackson


Msanii nguli wa Muziki wa Pop, Michael Jackson amefariki dunia leo usiku wa saa 7 majira ya Tanzania, kutokana na ugonjwa wa moyo. Mdogo wake amenukuliwa na vyombo vya habari kuwa Jackson alicollapse akiwa nyumbani, akatangulia kwa muumba wake. Atakumbukwa mambo mengi, muziki mzuri, kubadili sura, na vitendo vingine...

No comments:

Post a Comment