Thursday, April 30, 2009

Yaliyojiri Kwenye Mabomu Dar

Majeruhi akiwahishwa hospitali

Hata wanajeshi waliumia katika sekeseke hilo

Hata sisi haya hatuyafyatua siku nyingi



Ngoja nitimue mbio, hali haijatulia



Hakuna magari lakini lazima tuhame Mbagala





Njoo mzime moto nyumba yangu inateketea, jamani...haya nenda tu huko jeshini sisi tufe





Bomu limechimba shimo likajifukia lenyewe humu





No comments:

Post a Comment