
Majeruhi akiwahishwa hospitali

Hata wanajeshi waliumia katika sekeseke hilo

Hata sisi haya hatuyafyatua siku nyingi

Ngoja nitimue mbio, hali haijatulia

Hakuna magari lakini lazima tuhame Mbagala

Njoo mzime moto nyumba yangu inateketea, jamani...haya nenda tu huko jeshini sisi tufe

Bomu limechimba shimo likajifukia lenyewe humu
No comments:
Post a Comment