Thursday, April 30, 2009

Sekondari Kamachumu


Hata hizi shule zenye majina kuna siku zilianza kama hii ya kata Kamachumu huko Kagera.

Hawa ni wanafunzi wa kwanza wa kidato cha kwanza mwaka 2009 na mwalimu wao aitwaye Mwesiga Nduba. Hakika wanayo safari ndefu.

No comments:

Post a Comment