Thursday, April 30, 2009

Kama zipo jenga hata 'mbinguni'


Majumba ya 'wakubwa' juu ya mawe, huko Kapri Point jijini Mwanza. Wenzao waliojenga ovyo huko milimani wanaulizwa vyoo; je, hawa vyoo vyao viko wapi?

No comments:

Post a Comment