Mmoja aliandika hivi:
"Wananchi wasiadhibiwe kwa kukataa mafisadi kuwatumia kuwaibia. Kama Idris Rashid anatutisha ilhali akiwa mkuu wa shirika letu, awajibishwe mara moja kama umeme utakatika. Kwanini mitambo chakavu ambayo haijawahi kuzalisha umeme iwe tegemeo letu?Hii ni hujuma na ufisadi vinavyonuka. Na ni changamoto kwa nia ya kuleta maisha bora kwa wote kwa rais Jakaya Kikwete. Je watanzania watakubali kuchezewa mahepe mchana kweupe? Rashid jibu tuhuma za ufisadi katika deal la rada na uwajibike mara moja.Pia hujuma ya kutaka kununua mitambo chakavu ya IPTL ipingwe kwa nguvu zote kama ilivyofanyika kwa Dowans.
No comments:
Post a Comment