"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Saturday, March 07, 2009
Mungu alitoa, sasa ametwaa
Safari ya mwisho. Mjane wa Marehemu Michael Uledi alipita kutoa salamu za mwisho kwa mumewe mjini Dodoma, kabla ya mazishi yake kijijini Buigiri km45 Mashariki mwa mji wa Dodoma. TAARIFA KAMILI
No comments:
Post a Comment