Monday, March 23, 2009

Moto Moto Moto Bagayomo

Baadhi ya vijana hawa wa Bagamoyo waliamua kuokoa maji ya kunywa ambayo labda waliyamisi kwa kuwa hotelini hapo huuzwa bei mbaya.

Mkazi wa Bagamoyo akishangaa 'moto wa mabua' ulivyoteketeza hoteli za Paradise Holiday Resort na Oceanic Hotel leo. Ukitaka kuona picha zaidi peruzi ukurasa huu. Hii ndiyo ilikuwa habari kubwa kwa vyombo vya habari ndani na nje ya Tanzania. Mwananchi wameripoti hivi lakini Tanzania Daima likasema ni hoteli tatu, ikiwamo Livingstone

No comments:

Post a Comment