Wednesday, March 25, 2009

Songas Yaikana Dowans




KAMPUNI ya kuzalisha umeme wa gesi ya Songas Limited imesema haina mpango wa kununua mitambo iliyotumika ya kampuni ya Dowans Tanzania Limited (DTL), kwa haina uwezo wa kutumiwa kibiashara Cheki hapa. Habari hii ilianzia kwenye gazeti la The Guardian (Tanzania). Kilichokuwa kinashangaza zaidi ni kuwa miongoni mwa wanahisa watano wa Songas, yamo mashirika ya Umma matatu yafuatano:

1. Petroleum Development Corporation - TPDC (shirika la umma 100%)

2. Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (shirika la umma 100%)
3. Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (shirika la umma 100%). Wanahisa wengine ni;

4. Nederlandse Financierings - Maatschappij Voor Ontwikkelingslanden NV - FMO; na

5. Globeleq (mwenye hisa nyingi)

No comments:

Post a Comment