Wednesday, March 11, 2009

Kichapo Alomzaba Kibao Mwinyi



Ibrahim Hassan, kijana aliyemzaba Mzee Myinyi kibao akipokea 'haki yake' kutoka kwa wanausalama waliomkamata baada ya tukio hilo. Habari za ndani kutoka katika vyombo vya usalama zinasema kuwa anaendelea kuhojwa huku kukiwa na tetesi kuwa, alisema 'ametumwa' kufanya kitendo hicho. HABARI NDIYO HII...Hii ndiyo habari ya siku, mijadala kwenye tovuti na blog mbalimbali inazungumzia suala hili, Cheki hapa BONGO CELEBRITY wadau wanavyosema. (Picha na Sumo)

No comments:

Post a Comment