Wednesday, February 25, 2009

Yanga Kunawaka



Yanga kweupe: Ukarabati wa jengo la Yanga Sports Club mtaa wa Jangwani na Twiga unakaribia mwisho, Kwa ndani sasa liko mswanu bado kidogo mazingira ya nje...wenzao Mtaa wa Msimbazi vipi?

No comments:

Post a Comment