Ilikuwa ni tetesi. Mara ikaanza kuandikwa kwenye magazeti bila kuwataja wahusika, lakini leo waziri wa Afrika Mashariki, Dk Diodorus Kamala ameibuka kwenye
THE CITIZEN na kukiriu kuwa shahada yake ya uzamivu (PhD) aliipata kwenye chuo cha Commonwealth Open University, ambayo haitambuliwi na Kamisheni ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU).
No comments:
Post a Comment