Timu yetu ya Taifa, taifa Stars jana usiku ilishindwa kuwatambia wasenegali baada ya kukubali kufungwa bao 1-0. Alikuwa ni Mchezaji Mamadou Traore aliyeukwamisha mpira wavuni katika dakika ya 29. Pamoja na juhudi za vijana wetu hadi kipenga cha mwisho hakukuwa na mabadiliko.
No comments:
Post a Comment