Ngassa na kiungo chipukizi wa Stars, Mwinyi Kazimoto walichukuliwa vipimo hivyo Jumapili iliyopita katika mechi ya kwanza dhidi ya ambayo ilimalizika kwa kwa Stars kulala kwa bao 1-0. Ngasa anasema 'Sina shaka' lakini wasiwasi wetu unabaki pale pale kuwa gazeti la Mwanaspoti liliwahi kufichua habari kuwa wachezaji tisa (9) wa Taifa Stars wanavuta bangi. Tuvute subira.
No comments:
Post a Comment