Katika swali letu la wiki iliyopita kuhusu walimu wazembe ama kuchalwa bakora, kupewa onyo, kushtakiwa au kuachwa tu, wasomaji 25 walijitokeza kupiga kura.
Matokeo
Wasomaji 18 (72%) wamesema wachapwe bakora
Wasomaji 4 (16%) wamasema wapewe onyo
Wasomaji 3 (12%) wamesema washtakiwe
Hakuna (0%) aliyesema waachwe tu
Soma swali la leo hapo kulia.
No comments:
Post a Comment