"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Tuesday, November 25, 2008
Breaking Newsssss
Mawaziri wawili waliopita, Basil Mramba na Daniel Yona wamefikishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya ofisi...Dhamana zao zinahitaji Sh3,000,0000,000 tu. Hivi sasa wanashughulikia dhamana. mengina nitawaeleza baadaye..
No comments:
Post a Comment