"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Monday, March 03, 2008
Mafisadi Wazidi Kubanwa
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya Mbeya, Tanzania wakionyesha bango lenye katuni inayomuonyesha kiongozi mmoja, wakimuuliza; fedha zote hizi unazipeleka wapi? Bila nao wamekerwa na wizi wa mapesa ya umma.
No comments:
Post a Comment