Monday, March 03, 2008

Cheka Awacheka Kina Matumla

Taarifa kutoka katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Bondia Froncis Cheka wa Morogoro amemchakazi vibaya Hassan Matumla kwa KO na kutwaa ubungwa wa mabara uzito wa kati. Alimuangusha katika round ya 10 kati ya 12 zilizotakiwa. Kwa hiyo Cheka ameendelea kucheka katika familia ya wanamasumbwi ya kina matumla, baada ya kuwachapa hata kakaze Hassan.

No comments:

Post a Comment