Tuesday, February 26, 2008

Juhudi za Mbowe Hola!

Pamoja na Ushawisho wooote wa Mwenyekiti wa Chadema kumnadi mgombe wake, Victor Kimesera bado kapoteza.
Unamuona mfanyabiashara Kimesera anavyofurahia, akidhania ataibuka mbunge baada ya kushindwa mara tatu jimboni humo. Kumbe sasakapoteza mara ya nne.

No comments:

Post a Comment