Friday, February 29, 2008

Kenya Waafikiana. Amani Kurejea?

Wazee wa kazi wakubaliana kugawana madaraka


Hapa Watiliana saini, tuone nani atakuwa wa kwanza kukiuka makubaliano


Hata 'wazee' wetu walioshindwa miafaka kibao ya Zanzibar, walikuwepo, labda wamepata somo

No comments:

Post a Comment