"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Maskini mzee wa watu. Bora angebaki na Ukuu wa mkoa wake. lakini mambo si habari, hata ubunge anashiba.
wamechoka sana. iweje kila siku wao tu, kwani hakuna damu changa ya kushika madaraka badala ya hawa?
Haya ni mambo ya kawaida katika nchi yenye watu milioni zipatazao thelathini na sita. Kuachwa haimaanishi kwamba hawafai. Ni busara wapumzike. Umri unaruhusu kupumzika bila usononi.
3 comments:
Maskini mzee wa watu. Bora angebaki na Ukuu wa mkoa wake. lakini mambo si habari, hata ubunge anashiba.
wamechoka sana. iweje kila siku wao tu, kwani hakuna damu changa ya kushika madaraka badala ya hawa?
Haya ni mambo ya kawaida katika nchi yenye watu milioni zipatazao thelathini na sita. Kuachwa haimaanishi kwamba hawafai. Ni busara wapumzike. Umri unaruhusu kupumzika bila usononi.
Post a Comment