Wednesday, February 20, 2013

Shein amuaga Padri aliyeuawa

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein (kushoto) akitoa salamu ya Mwisho kwa mwili wa Padri Evarest Mushi katika Kanisa la Minaramiwili Mjini Zanzibar. Padri Mushi aliuawa risasi na watu wasiojuilikanwa Jumapili iliyopita kuzikwa leo Kijini Kitope, Wilaya ya Kaskazini B, Unguja. (Katikati) Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Augustino Shayo.

No comments:

Post a Comment