Isome Hapa
Binti wa Gaddafi: Nilipiga simu ya baba, ikapokewa na waasi, hawa ndio walimuua
Mjane: Umoja wa matifa ufanye uchunguzi wa mauaji haya ya mume wangu
Aliipenda mno famili yake
Hii ndiyo bastola yake ya dhahabu, haikumsaidia
Alikamatwa akiwa hai. Hapa anacheki damu zilizochuruzika alipoburuzwa kutoka mtaroni
Mwisho wa yote alilazwa kama Jonas Savimbi, wapiga picha wakafanya mambo yao.
No comments:
Post a Comment