"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Tuesday, September 20, 2011
Umeme wa katani umeanzia Tanzania!
First in the world: Hili ni eneo la mtambo wa kuzalisha umeme unaotumia gesi inayotokana na mabaki ya mkonge katika kiwanda cha Katani Limited, Hale mkoani Tanga. Kiwanda hiki kinazlaisha umeme unaotosha kuendesha mitambo yake na matumizi ya kawaida katika nyumba za wafanyakazi.
Wafanyakazi wakiondoa nyuzi nyuzi za mwisho za katani ili kukubakiza mabaki yanayotumika kutengeneza 'biogas'.
Katani ikichambuliwa wakati wa uzalishaji wake
Mkonge ukiingizwa kwenye mtambo
Matanki ya gesi, inayotumika kuzalisha umeme kiwandani
No comments:
Post a Comment