Monday, June 13, 2011

Mukama akutana na Kardinali Pengo

Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akisaini kitabu cha wageni Ofisini kwa Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment