Sunday, March 13, 2011

Dawa ipo ya kutosha Loliondo


Babu wa tiba amewaondolea wasiwasi wateja wake, akisema dawa bado ipo ya kutosha. Walioionja wanasema si chungu wala yenye ukakasi.

Waliokwishatibiwa, waelezwa ni kama tone la watakaotibiwa. Mashuhuda wanazidi kueleza inawatibu.

Kila mtu na maamuzi yake, kasheshe itabaki namna ya kufika huko. Msongamano, vumbi, ajali, nauli juu na mengine mengine. Lakini yote kwa yote bora uzima.

No comments:

Post a Comment