Waliouawa na polisi waagwa na halaiki
*Viongozi wa dini wasema wamekufa wakitetea taifa
*Freeman Mbowe adai mauaji hayo yalikuwa yamepangwa
Na Glory Mhiliwa, Arusha
MAELFU ya wakazi wa Arusha na mikoa ya jirani jana walijitokeza katika kuaga miili ya >>> endelea>>
Picha ya jamiiforums
*Freeman Mbowe adai mauaji hayo yalikuwa yamepangwa
Na Glory Mhiliwa, Arusha
MAELFU ya wakazi wa Arusha na mikoa ya jirani jana walijitokeza katika kuaga miili ya >>> endelea>>

Kauli rasmi ya CHADEMA
Na Grace Michael
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa mauaji yaliyofanywa na Askari Polisi mkoani Arusha yalipangwa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM) walihusika moja kwa moja katika
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa mauaji yaliyofanywa na Askari Polisi mkoani Arusha yalipangwa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Chama Cha Mapinduzi (CCM) walihusika moja kwa moja katika
1 comment:
Haya , hiki ndio kisiwa cha AMANI NA UTULIVU!
Post a Comment