"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Monday, November 08, 2010
TATHIMINI YA CHADEMA
Jamii forums wametoa taarifa hii inayosubiriwa na wengi. Kama ni ya kweli, CHADEMA wametegeua kitendawili cha uchaguzi na kutoa tathmini inayoonesha kuwa mgombea Urais wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alishinda kweli, lakini kwa tofauti ndogo sana ya kura kati yake na Dkt. Willibrod Slaa. Isome Hapa
No comments:
Post a Comment