Tuesday, November 16, 2010

Spika akabidhiwa jina la Waziri Mkuu

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete leo katika ikulu ndogo ya Dodoma akimkabidhi Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Anna Makinda bahasha yenye jina la anayetarajiwa anayetarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania(picha na Freddy Maro)

1 comment:

emuthree said...

Kiroho, du du du !

Post a Comment