"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Wednesday, September 29, 2010
Piga kura ya Rais
Kama hujapiga kura hapa jamvini fanya hivyo sasa, muda unayoyoma. Tunataka tupate sura halisi ya uchaguzi wa Oktoba 31, 2010. Hapa hakuna kuchakachua matokeo. Pse piga mara moja, kwa mtu mmoja. Angalia hapo kulia.
No comments:
Post a Comment