"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Thursday, September 23, 2010
Piga kura ya Rais
Pembeni hapo kulia nimeweka orodha ya wagombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, kwa ajili ya kuwapigia kura. Unaruhusiwa kupiga kura kwa mtu mmoja, na mara moja ili tusaidiane kupata taswira sahihi ya matokeo ya uchaguzi.
No comments:
Post a Comment