"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Monday, May 31, 2010
Waliopitia JKT jikumbusheni Ukruta
Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC), Bwana Dunstan Mrutu akitoa mada kwenye semina kuhusu dhana ya Kilimo Kwanza kwa makruta 350 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT Mafinga) mkoni Iringa mwishoni mwa wiki. Kruta viti vya nini?
No comments:
Post a Comment