"Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber."-Plato
Monday, May 31, 2010
Siku ya Kukataa Tumbaku
Rafiki yangu Reuben Kagaruki aliona picha hii inayoonesha madhara ya sigara akachukua uamuzi mgumu wa kuacha sigara. Sasa ana miaka minne hajavuta. Nimeona niiweke hapa leo katika maadhimisho ya siku ya kutofuta tumbaku, ili ukiiona uchukue maamuzi.
2 comments:
Anonymous
said...
Kama wewe huvuti sigara zinakuhusu nini? Mbona sisi hatuwasakami siku ya Ukimwi duniani na karibia watanzania wote wazinzi!!
2 comments:
Kama wewe huvuti sigara zinakuhusu nini? Mbona sisi hatuwasakami siku ya Ukimwi duniani na karibia watanzania wote wazinzi!!
hizo number maelezo yako tusaidie tusome
Post a Comment