Monday, July 06, 2009

Matokeo Rasmi Biharamulo

Matokeo Rasmi yaliyotangazwa na Msimamizi wa Uchaguzim, Zuberi Mbyana: Mshindi ni Oscar Mukassa-CCM

CCM: 17,561

Chadema: 16,700

TLP: 198

Waliojiandikisha 87,188
Waliopiga kura 35, 338
Kura zilizoharibika 879
WanaCCM wa Biharamulo wakishangilia ushindi jana.

2 comments:

Anonymous said...

Hiki ni kichekesho au ni msiba? Waliojiandikisha ni 87,188 na waliopiga kura ni 35,338! Yaani hawafikii nusu ya waliojiandikisha? Hili linatupa picha ipi? Na upi ni msitikabali wa taifa kwa upigaji kura wa namna hii?

Anonymous said...

Ni njaa na umaskini ambao ndio SILAHA kuu ya CCM. Hakikisha watu wanabaki wamasikini, wakati wa uchaguzi nunua shahada za kupigia kura za wale wanaoonekana kuleta kidomodomo. Basi. Hiyo ndilo jibu la namba hiyo 87,188 vs 35,338. Mstakabali wa taifa ni 'maisha bora kwa kila fisadi'.

Post a Comment