Wednesday, July 29, 2009

Ana Kwa Ana na Spika


Kisima Cha Fikra (aliyeshika kifuani) akisalimiana na Mheshimiwa Spika Samuel Sitta katika viwanja vya Bunge, alipotembelea taasisi hiyo juzi na jana. Wengine wanaoangalia ni Mzee wa Mshitu (kati) na kushoto kabisa ni Bakari Machumu, Mhariri Mtendaji wa The Citizen. (picha na Jube Tranquilino) (picha zaidi tazama album)

No comments:

Post a Comment