Saturday, June 06, 2009

Shughuli bado pevu Z'bar

Winchi ‘Ndovu’ ya Mamlaka ya Bandari Dar es Salaam, ikinyanyua meli ya Mv Fatih iliyozama katika bandari ya Zanzibar. Ilifanikiwa kuibinua chini juu, lakini kkazama tena. Inaelekea shughuli bado ni pevu. Picha na Bukuku

No comments:

Post a Comment