Monday, June 29, 2009

Enzi Mpya ya Chiluba


Kila enzi na kitabu chake. Hii ndiyo enzi mpya ya Frederick Chiluba wa Zambia. Viongozi wetu hasa Afrika 'wana-enjoy' sana wanapokuwa madarakani. Sina wivu nao kama walacho ni halali yao, lakini kama wanakula halali ya wananchi wao, sina huruma yanapowakumba haya ya Chiluba . Soma zaidi hapa.

No comments:

Post a Comment