Alisema “Wakenya wanapoenda Ulaya wanawaambia wazungu: Njooni Kenya ili muone mlima Kilimanjaro,” alisema Musyoka katika ziara hiyo ya kiserikali kwa mwaliko wa Tanzania.

Mlima Kilimanjaro unavyoonekana kwa mbali

Kilele cha Kibo cha Mlima Kilimanjaro. Zaidi soma hapa
No comments:
Post a Comment