Wednesday, April 29, 2009

Waziri Atuma Rambirambi Mbagala

Kwa niaba ya mbunge mwenzangu wa Kigamboni, na kwa niaba yangu mimi binafsi na wananchi wa jimbo langu la Ukonga, natoa rambirambi na pole nyingi kwa waathirika wa milipuko hii huko Mbagala!
Eneo hilo pia ni jirani yangu kwa upande wa chamazi na kata yangu ya msongola. Nafuatilia sana tukio hili kupitia mtandao huu (Bidii) nikiwa huku Musoma kwenye msiba wa ndugu yangu. Asanteni kwa kuendelea kutuelewesha matukio kama haya.

Mhe. Dr. Makongoro Mahanga
Mbunge wa Ukonga.

No comments:

Post a Comment